Tuesday, December 30, 2014

THE GIVERS....

THIS IS WHAT FLAVIANA MATATA IS DOING !! Giving back to community through education.  Model Flaviana Matata and former miss universe is a founder of  FLAVIANA MATATA FOUNDATION which assist students with backparks, books, scholarships and back to school kits..   God bless you Flaviana.   ...

Tunaelimishaje watoto wetu na wa jirani zetu ?

Tunaelimishaje watoto wetu na wa jirani zetu? ‘Elimu ni ufunguo wa maisha’ ‘ Elimu ni bahari’ ‘Elimu ni mkombozi’ ‘ Kama elimu ni ghali jaribu ujinga’ hizo ni semi ambazo tunakutana nazo mara kwa mara katika upashanaji habari na utafutaji habari kwenye maisha yetu ya kila siku. Elimu ni kitendo kinachofayika kuhamisha taarifa, maarifa na ujuzi toka kizazi kimoja kwenda kizazi kingine. Mara nyingi ni kizazi kilichotangulia kwenda kizazi kinachofuatia...

Monday, December 22, 2014

53 years of independence: Are we providing quality education ?

53 years of independence: Are we providing quality education? By Masozi Nyirenda 8th December 2014 Email Print Since independence in 1961, education has always been seen as the core of national development, although rapid expansion-especially of primary schools-came after the 1974 Universal Primary Education (U.P.E.) programme. Tomorrow, December 9,  Tanzania reaches...

Can we achieve 'big results now' in education ?

Can we achieve 'big results now' in education? By Masozi Nyirenda Overcrowding- one of the challenges facing education sector in Tanzania (File Photo) Education is termed as an important component in man’s life an engine of the economy. In other words, education is the brain of the socio-economic development of any country. The education system of a society need to be stable, well structured and have firm...

Tanzania's girls struggle for education.

                Tanzania's Girls Struggle for Education  December 15, 2014...

Tuesday, December 9, 2014

Why should students participate in extracurricular activities ?

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Wednesday, November 26, 2014

What you need to know about Mental slavery: Worst form of slavery.

Mental slavery is when others control your thoughts by manipulating your well being and train of thoughts. In order to truly be free one must not allow others to dictate how one thinks, speaks, feels and believes. Choosing to live a life in a cynical negative matter, doubting every God -given ability that you possess is in affect choosing to live a life bound by the chains of mental...

Sunday, November 16, 2014

Give education due importance.

As written by Fariji Msonsa ( The Citizen Reporter ) Parents have been argued to put education for their children as number one priority when setting their budgets because that is what will serve as best inheritance to them. The call was made at a fund raising ceremony for completion of dormitories at st. Gaudence Makoka for Mwenyeheri Anuarite Secondary School. Dr. Kebwe Deputy minister for health said, judging from what has been happening, it is obvious that many parents...

Friday, November 7, 2014

SHULE KUMI BORA MATOKEO DARASA LA SABA 2014.

SHULE KUMI BORA ZINAZOONGOZA KWA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2014.  1.Twibhoki (Mara),  2.Mugini (Mwanza),  3.PeaceLand (Mwanza),  4.Alliance (Mwanza),  5.Kwema (Kahama - Shinyanga)  6.St.Severine (Kagera),  7.Rocken Hill (Kahama - Shinyanga),  8.Tusiime (DSM),  9.Imani (KLM)  10.Palikas (Kahama - Shinyanga.  CREDITS:YUVI...

MATOKEO YA DARASA LA SABA HAYA HAPA.

( Imeandikwa na Beatrice Moses na Ibrahim Yamola )................. SERIKALI imetangaza matokeo ya darasa la saba mwaka huu, huku takwimu za matokeo hayo zikionyesha kuwa zaidi ya nusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2013 ni wale waliopata asilimia 40 ya alama kwenda chini katika matokeo hayo. Katika matokeo hayo yaliyotangazwa jana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa wananfunzi 294,833 sawa na asilimia asilimia 52.58 waliopata daraja ‘D’ wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Hao...

Friday, October 24, 2014

What makes a great book for children ?

What is the difference between a great book for children and a not so good one ?. We can all remember the books we read when we were children. We can read them over and over again. The books we can never forget.  I personally remember "THE PEARLY" by John Steinbeck. I read it and remember it many times. This doesn't happen to all books i read when i was a child, I asked...